Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Prof. A. Tibaijuka , (Mb) akifafanua jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira wakati wa kuwasilisha Taarifa ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ya mwaka wa fedha 2010/11 pamoja ma kupokea Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2011/12