Wiki ya Utumishi wa Umma

Submitted by ardhi on Thu, 03/25/2010 - 10:20
Utumishi wa Umma
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

pamoja na Taasisi zake inapenda kuwakaribisha wananchi wote katika banda lake la maonesho kwenye Wiki ya Utumishi wa Umma Mnazi Mmoja Dare Es Salaam kuanzia tarehe 16-23 Juni 2009.

Miongoni mwa huduma zitakazoonyeshwa ni pamoja na utoaji wa hati za kumiliki ardhi kwa wananchi waliomilikishwa viwanja vya maeneo ya mradi wa viwanja 20,000 jijini Dar es Salaam.

 

Karibu ujionee huduma mbalimbali zinazotolewa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi zilivyoboreshwa kwa ajili yako wewe mwananchi.

 

* Kwa huduma ya hati, tafadhali njoo na barua ya Toleo (Letter of Offer).

 

Imetolewa na:

 

Katibu Mkuu

 

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

 

S.L.P 9132 DSM

 

Simu: 022-2-121241            Fax:   022-2-124576

 

E-mail:km@ardhi.go.tz        Website: www.ardhi.go.tz