News

October 29th, 2012
Picha ni, Mh. Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka akimkabidhi Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete anwani ya Ofis
September 21st, 2012
Includes new regions and districts
September 11th, 2012
FINANCIAL YEAR: 2012/2013

Extra Menu

Government Notice (GN) 2012

Viwango vipya vya kodi ya pango la Ardhi na tozo nyingine.Viwango hivyo vinahusisha:

1. GN 259-261 inahusu viwango vipya vya usajili na hamisho mbalimbali za nyaraka za kisheria.

2.GN 263-265 inahusu ada mbalimbali zitakazotozwa katika Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya na gharama za    upimaji wa ardhi.

3. GN  266 inahusu viwango vipya vya kodi ya ardhi kwa matumizi mbalimbali nchini ( Viwanja na mashamba).