Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi

Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi

Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria kuanza rasmi kwa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu eneo la Kibada, Kigamboni, Dar es Salaam. Wanaoshuhudia kutoka kushoto kwa Mhe. Rais ni Naibu Waziri wa Ardhi Mhe. Godluck Ole Medeye, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadiki, Mwenyekiti wa Bodi wa NHC Mhandisi Kesogukewele Msita, Mkugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu na Mama Salma Kikwete.

 

Picha ya Mh. Tibaijuka Akimkabidhi Mh. Rais Kikwete Anwani ya Ikulu

Picha ya Mh. Tibaijuka Akimkabidhi Mh. Rais Kikwete Anwani ya Ikulu

Picha ni, Mh. Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka akimkabidhi Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete anwani ya Ofisi ya Rais Ikulu Wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa Utekelezaji wa Mpango wa Anwani za Makazi na Misimbo ya Posta jiji I Dar es salaam.

Mkutano kati ya Tanzania na Malawi uliojadili mgogoro wa mpaka

Mkutano kati ya Tanzania na Malawi uliojadili mgogoro wa mpaka

Mh. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka na Mh. Bernard Membe Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakiwa kwenye mkutano kati ya Tanzania na Malawi uliojadili mgogoro wa mpaka kwenye ziwa Nyasa mjini Lilongwe tarehe 25 Agosti, 2012. Hata hivyo nchi hizi mbili hazikufikia muafaka na kikao kingine kitafanyika jijini Dar es Salaam mwezi ujao kujadili njia za Kidiplomasia muafaka za kuweza kumaliza mgogoro huu

Mhe. Prof Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na wajumbe wa EEZ  nje ya jengo la Umoja wa Mataifa

Mhe. Prof Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na wajumbe wa EEZ nje ya jengo la Umoja wa Mataifa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna K. Tibaijuka katika picha ya pamoja na Wajumbe waliowasilisha hoja ya kutaka ongezeko la eneo nje ya ukanda wa Kiuchumi Baharini (EEZ) baada ya mawasilisho nje ya jengo la Umoja wa Mataifa.

Mhe. Prof Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na  Makamishna wa Mipaka Baharini

Mhe. Prof Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na Makamishna wa Mipaka Baharini

Ujumbe wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna K. Tibaijuka katika picha ya pamoja na Makamishna wa Mipaka Baharini wa Umoja wa Mataifa New York kabla ya kuwasilisha hoja ya kutaka ongezeko la eneo nje ya ukanda wa Kiuchumi Baharini (EEZ)

Mkutano wa Watendaji sekta ya Ardhi kanda ya kati kujadili vipaumbele sekta ya Ardhi

Mkutano wa Watendaji sekta ya Ardhi kanda ya kati kujadili vipaumbele sekta ya Ardhi

Picha ya Pamoja ya Watendaji wa Sekta ya Ardhi na Sekta wadau wa ardhi zikiwemo TAKUKURU, Madini, Wakala wa Majengo na Shirika la Nyumba la Taifa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma mara tu baada ya kufungua mkutano.

   

 

Mkutano wa kujadili vipaumbele sekta ya Ardhi Kanda ya Kati

Mkutano wa kujadili vipaumbele sekta ya Ardhi Kanda ya Kati

WIZARA YA ARDHI YATOA HATI ZA KIMILA MKOANI IRINGA

WIZARA YA ARDHI YATOA HATI ZA KIMILA MKOANI IRINGA

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Goodluck Olemadeye akitoa hati ya kimila kwa mwananchi wa kijiji cha Ndiwili katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa mkoani Iringa Mei 13 2012.

WIZARA YA ARDHI YATOA HATI ZA KIMILA MKOANI IRINGA

WIZARA YA ARDHI YATOA HATI ZA KIMILA MKOANI IRINGA

Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Goodluck Olemadeye akitoa Hati za kimila katiaka kijiji cha Ndiwili, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa Mei 13 2012.

Mhe. Waziri wa Ardhi Prof Anna Tibaijuka atembelewa na waziri kutoka Norway

Mhe. Waziri wa Ardhi Prof Anna Tibaijuka atembelewa na waziri kutoka Norway

Mhe. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof Anna Tibaijuka he. Waziri wa Ardhialitembelewa na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka nchini Norway Bw. Heikki Holmas

News & Announcements

Land is an economic good of an increasing value. It plays a great role in the process of poverty reduction through wealth creation and hence uplifting the wellbeing of the people. The Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development has been mandated to administer land and human settlement in Tanzania. It therefore provides various land related services to individuals and institutions in the country.