Rais Jakaya Kikwete akiweka jiwe la msingi
Picha ya Mh. Tibaijuka Akimkabidhi Mh. Rais Kikwete Anwani ya Ikulu
Picha ni, Mh. Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka akimkabidhi Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete anwani ya Ofisi ya Rais Ikulu Wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa Utekelezaji wa Mpango wa Anwani za Makazi na Misimbo ya Posta jiji I Dar es salaam.
Mkutano kati ya Tanzania na Malawi uliojadili mgogoro wa mpaka
Mh. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka na Mh. Bernard Membe Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakiwa kwenye mkutano kati ya Tanzania na Malawi uliojadili mgogoro wa mpaka kwenye ziwa Nyasa mjini Lilongwe tarehe 25 Agosti, 2012. Hata hivyo nchi hizi mbili hazikufikia muafaka na kikao kingine kitafanyika jijini Dar es Salaam mwezi ujao kujadili njia za Kidiplomasia muafaka za kuweza kumaliza mgogoro huu
Mhe. Prof Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na wajumbe wa EEZ nje ya jengo la Umoja wa Mataifa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna K. Tibaijuka katika picha ya pamoja na Wajumbe waliowasilisha hoja ya kutaka ongezeko la eneo nje ya ukanda wa Kiuchumi Baharini (EEZ) baada ya mawasilisho nje ya jengo la Umoja wa Mataifa.
Mhe. Prof Anna Tibaijuka katika picha ya pamoja na Makamishna wa Mipaka Baharini
Ujumbe wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna K. Tibaijuka katika picha ya pamoja na Makamishna wa Mipaka Baharini wa Umoja wa Mataifa New York kabla ya kuwasilisha hoja ya kutaka ongezeko la eneo nje ya ukanda wa Kiuchumi Baharini (EEZ)
Mkutano wa Watendaji sekta ya Ardhi kanda ya kati kujadili vipaumbele sekta ya Ardhi
Picha ya Pamoja ya Watendaji wa Sekta ya Ardhi na Sekta wadau wa ardhi zikiwemo TAKUKURU, Madini, Wakala wa Majengo na Shirika la Nyumba la Taifa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma mara tu baada ya kufungua mkutano.
WIZARA YA ARDHI YATOA HATI ZA KIMILA MKOANI IRINGA
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Goodluck Olemadeye akitoa hati ya kimila kwa mwananchi wa kijiji cha Ndiwili katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa mkoani Iringa Mei 13 2012.
WIZARA YA ARDHI YATOA HATI ZA KIMILA MKOANI IRINGA
Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Goodluck Olemadeye akitoa Hati za kimila katiaka kijiji cha Ndiwili, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa Mei 13 2012.
Mhe. Waziri wa Ardhi Prof Anna Tibaijuka atembelewa na waziri kutoka Norway
Mhe. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof Anna Tibaijuka he. Waziri wa Ardhialitembelewa na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka nchini Norway Bw. Heikki Holmas